• English
  • Kiswahili
  • e-Vibali
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
    • Muundo
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
      • Ununuzi na Ugavi
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
  • Zabuni
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dodoso MKUMBI II
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu - Mipango
Dkt. Fred Matola Msemwa
Dkt. Fred Matola Msemwa
Katibu Mkuu - Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitla Mkumbo (Kushoto), akimkabidhi Rais na Mtendaji Mkuu wa Kampuni za Dangote, kwa niaba ya ujumbe aliouongoza katika ziara ya kutembelea Kampuni za Dangote nchini Nigeria.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (Katikati) akiwakabidhi Ufunguo wa Mtazamo Mpya viongozi wa Serikali, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo na Waziri wa Fedha na Mipango wa Zanzibar, Dkt. Juma Malick Akil (Kushoto) na Viongozi wanaowakilisha Sekta Binafsi, Bi. Angelina Ngalula na Bw. Ali Amour (Kulia), wakati wa Mkutano Maalum wa Rais na Sekta Binafsi, ikiwa ni ishara ya kuanza kutekeleza Dira 2050, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Pius Chaya katika picha na Dkt. Vincent Mashinji, Mkuu wa Wilaya ya Manyoni (wa kwanza kulia), Bi. Anastazia Tutuba Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Manyoni (wa kwanza kushoto), Bi. Naima Chondo Katibu Tawala Wilaya ya Singida (wa pili kutoka kushoto) na Bi. Gisela Mugumira Mkurugenzi wa Utawala na Rasiliamali watu OR-MU (wa tatu kutoka kushoto)

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji akizungumza na Watumishi wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji mara baada ya kutembelea OR-MU katika maonesho ya wakulima nanenane yanayoazimishwa katika viwanja vya Dkt. John Malecela jijini Dodoma. Maonesho ya wakulima nanenane mwaka 2026 yanaongozwa na kauli mbiu "Tambua soko, Ongeza tija kutekeleza Dira 2050".

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mheshimiwa, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, akiwa ameinua moja ya Nyenzo za Utekelezaji wa Dira 2050 baada ya kuzinduliwa wakati wa Mkutano Maalum wa Rais na Sekta Binafsi, ikiwa ni ishara ya kuanza kutekeleza Dira 2050, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Pius Chaya tarehe 30 Julai, 2026 ametembelea na kukagua kiwanda cha kutotoresha vifaranga na kutengeneza chakula cha kuku cha Irvines Tanzania Limited na kukagua mashamba ya uwekezaji yaliyo chini ya NAFCO yaliyopo wilaya ya Siha Mkoani Kilimanjaro.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Pius Chaya leo akipokelewa na Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mheshimiwa Nurdin Babu wakati wa ziara ya kikazi kutembelea miradi ya Uwekezaji iliyopo wilaya ya Siha na Hai.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

MKUTANO MAALUMU WA RAIS NA SEKTA BINAFSI

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri Dkt. Pius Stephen Chaya, amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Urusi ulioongozwa na Bi. Leila Zotova Ruslanovna, Naibu Mkuu wa Shirika la Vijana la Urusi (Rosmolodezh) (wa nne kutoka kushoto). Mazungumzo hayo yalijikita katika kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na Urusi, hususan katika kubuni na kutekeleza programu za kuwawezesha, kuwaendeleza na kuwajengea uwezo vijana kushiriki kikamilifu katika fursa mbalimbali za uwekezaji na maendeleo ya kiuchumi.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ametembelea banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji katika maonesho ya Sabasaba 2026 na kupata maelezo kuhusiana na Majukumu na utendaji kazi wa Ofisi hiyo na kukabidhiwa Mfuko wenye ujumbe wa Dira 2050 Wekeza Tanzania

Previous Next

Habari Mpya

PROF. MKUMBO AONGOZA UJUMBE ZIARA YA UWEKEZAJI NIGERIA
PROF. MKUMBO AONGOZA UJUMBE ZIARA YA UWEKEZAJI NIGERIA
Aug 11, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ameongoza ujumbe wa ngazi ya juu wa Serikali ya Tanzania katika ziara ya kim...
SERIKALI YAENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAWEKEZAJI. DKT. CHAYA
SERIKALI YAENDELEA KUTATUA CHANGAMOTO ZA WAWEKEZAJI. DKT. CHAYA
Aug 03, 2026
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Dkt. Pius Chaya, amesema Serikali inatekeleza hatua za kuboresha mazingira ya biashara na u...
UTEKELEZAJI DIRA 2050 KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU
UTEKELEZAJI DIRA 2050 KUONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MALENGO YA MAENDELEO ENDELEVU
Jul 20, 2026
Tanzania imesema utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 utaongeza kasi ya kufikiwa kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) kwa kuyajumuisha k...
MHE. PROF. MKUMBO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KUSHIRIKI JUKWAA LA NGAZI YA JUU LA SIASA LA MALENGO YA...
MHE. PROF. MKUMBO AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KUSHIRIKI JUKWAA LA NGAZI YA JUU LA SIASA LA MALENGO YA...
Jul 20, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo (Mb) (katikati), katika picha ya pamoja na Spika w...
TAMASHA LA 17 LA KITAALUMA LA MWALIMU NYERERE
TAMASHA LA 17 LA KITAALUMA LA MWALIMU NYERERE
Jun 01, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, leo amehudhuria na kutoa hotuba fupi katika Tama...
Tazama Zote

Matangazo

DIRA 2050
Jul 20, 2026
HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI...
Apr 16, 2026
MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA...
Jun 12, 2025
HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Hotuba ya Bajeti 2024/25
Apr 22, 2024
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    23
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    1
  • Ripoti
    23
  • MIONGOZO
    3
pdf-128
01 Jul 2026

HOTUBA YA PROF. KITILA MKUMBO KATIKA HAFLA YA GAWIO TAREHE 30 JUNI, 2026


Soma zaidi
pdf-128
11 Jun 2026

HOTUBA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2025 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2026/27


Soma zaidi
pdf-128
01 Jun 2026

PROF. MKUMBO SPEECH REFLECTION ON DIRA 2050, DURING 17 MWL NYERERE INTELLECTUAL FESTIVAL 2026


Soma zaidi
pdf-128
22 May 2026

HOTUBA YA PROF. KITILA MKUMBO KIKAO CHA TATHIMINI YA ATHARI ZA KIUCHUMI ZINAZOTOKANA NA MGOGORO WA GHUBA KWA TANZANIA


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Taifa ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@popi.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dodoso MKUMBI II

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2026 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.