• English
  • Kiswahili
  • e-Vibali
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
    • Muundo
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
      • Ununuzi na Ugavi
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
  • Zabuni
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dodoso MKUMBI II
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu - Mipango
Dkt. Fred Matola Msemwa
Dkt. Fred Matola Msemwa
Katibu Mkuu - Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo katika picha na Katibu Mkuu wa Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Mbaga Kida; Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Tanzania, Bi. Susan Ngongi Namondo; Mwakilishi Mkazi wa UNDP Tanzania, Bw. Shigeki Komatsubara; Manaibu Katibu Watendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Mursali Milanzi; Dkt. Blandina Kilama, Bw. Sosthenes Kewe; na Mchumi Mkuu wa UNDP, Kanda ya Afrika, Bw. Raymond Gilpin mara baada ya kikao cha tathimini ya athari za kiuchumi zinazotokana na mgogoro wa ghuba kwa Tanzania.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Shirikisho la Urusi, Maksim Reshetnikov akizungumza wakati wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji uliofanyika jijini Arusha.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwekezaji akizungumza neno la ukaribisho mara baada ya kumpokea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo na Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Shirikisho la Urusi, Maksim Reshetnikov kabla ya kushiriki hafla ya kusaini Muhtasari wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Uwekezaji akizungumza neno la ukaribisho mara baada ya kumpokea Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo na Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Shirikisho la Urusi, Maksim Reshetnikov kabla ya kushiriki hafla ya kusaini Muhtasari wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (kulia) na Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Shirikisho la Urusi, Maksim Reshetnikov wakionesha Muhtasari wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji uliofanyika jijini Arusha

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (kulia) na Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Shirikisho la Urusi, Maksim Reshetnikov wakisaini Muhtasari wa Mkutano wa Tatu wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji uliofanyika jijini Arusha.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (Kulia), akimkabidhi zawadi iliyoandikwa Wekeza Tanzania, Waziri wa Maendeleo ya Uchumi wa Shirikisho la Urusi, Maksim Reshetnikov, baada ya kikao cha faragha kilichowakutanisha mawaziri hao kando ya Mkutano wa Tatu wa Pamoja wa Ushirikiano wa Kibiashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi, leo jijini Arusha

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, akitoa Hotuba fupi katika Jukwa la Pamoja la Biashara na Uwekezaji lililoandaliwa na Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi(TISEZA), katika ukumbi wa AICC, jijjni Arusha

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Pius Chaya akizungumza wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na Urusi lililofanyika ukumbi wa AICC - Arusha

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais - Uwekezaji, Dkt. Fred Msemwa akizungumza wakati wa kufungua mkutano wa tatu wa Pamoja wa kibiashara kati ya Tanzania na Urusi katika ukumbi wa JNICC - Arusha.

Previous Next

Habari Mpya

SERIKALI YACHUKUA HATUA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA USTAHIMILIVU WA UCHUMI WA TAIFA: PROF. MKUMBO
SERIKALI YACHUKUA HATUA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA USTAHIMILIVU WA UCHUMI WA TAIFA: PROF. MKUMBO
May 22, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amehudhuria na kufungua kikao kazi cha   kutathmini  athari za kiu...
TANZANIA NA URUSI KUFUNGUA FURSA MPYA ZA BIASHARA, KILIMO NA UWEKEZAJI
TANZANIA NA URUSI KUFUNGUA FURSA MPYA ZA BIASHARA, KILIMO NA UWEKEZAJI
May 16, 2026
Tanzania na Urusi zimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kupitia makubaliano mapya yatakayofungua fursa katika sekta za biashara, kilimo, uwek...
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
May 15, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, akitoa Hotuba fupi katika Jukwa la Pamoja la Biashara na Uwekezaji lililoand...
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
May 15, 2026
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Pius Stephen Chaya ameikaribisha Nchi ya Urusi kuwekeza Nchini Tanzania. Dkt. Chaya ameyasema...
PROF. MKUMBO ATOA MWELEKEO MPYA: SEKTA BINAFSI KUWA NGUZO YA UCHUMI WA TAIFA
PROF. MKUMBO ATOA MWELEKEO MPYA: SEKTA BINAFSI KUWA NGUZO YA UCHUMI WA TAIFA
Apr 16, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo leo tarehe 15 Aprili,2026 amekutana na wadau wa Sekta Binafsi katika kikao ma...
Tazama Zote

Matangazo

HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI...
Apr 16, 2026
MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA...
Jun 12, 2025
HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Hotuba ya Bajeti 2024/25
Apr 22, 2024
KONGAMANO LA WIKI YA WANAMIPANGO
Nov 23, 2023
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    20
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    1
  • Ripoti
    23
  • MIONGOZO
    3
pdf-128
22 May 2026

HOTUBA YA PROF. KITILA MKUMBO KIKAO CHA TATHIMINI YA ATHARI ZA KIUCHUMI ZINAZOTOKANA NA MGOGORO WA GHUBA KWA TANZANIA


Soma zaidi
pdf-128
04 May 2026

Hon. Prof. Kitila Alexander Mkumbo (MP), Opening speech of the Tanzania – Kenya Business Forum


Soma zaidi
pdf-128
16 Apr 2026

HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI KWA MWAKA 2026/27 ILIYOWASILISHWA MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB)


Soma zaidi
pdf-128
20 Mar 2026

HOTUBA YA PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO KUHUSU MKUTANO WA MAJADILIANO YA UCHUMI NA BIASHARA NA KUKUZA UWEKEZAJI NCHINI TANZANIA.


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Taifa ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@popi.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dodoso MKUMBI II

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2026 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.