• English
  • Kiswahili
  • e-Vibali
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
    • Muundo
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
      • Ununuzi na Ugavi
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
  • Zabuni
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dodoso MKUMBI II
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu - Mipango
Dkt. Fred Matola Msemwa
Dkt. Fred Matola Msemwa
Katibu Mkuu - Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ametembelea banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji katika maonesho ya Sabasaba 2026 na kupata maelezo kuhusiana na Majukumu na utendaji kazi wa Ofisi hiyo na kukabidhiwa Mfuko wenye ujumbe wa Dira 2050 Wekeza Tanzania.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dennis Londo, ametembelea banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji katika maonesho ya Sabasaba 2026 na kupata maelezo kuhusiana na Majukumu na utendaji kazi wa Ofisi hiyo na kukabidhiwa Mfuko wenye ujumbe wa Dira 2050 Wekeza Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Tuzo ya Heshima kutoka kwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (Kushoto) na Msajili wa Hazina. Nehemiah Mchechu (Kulia) kwenye hafla ya kupokea Gawio na Michango ya Taasisi na Mashirika ya Umma, Ikulu Jijini Dar es Salaam, tarehe 30 Juni, 2026. Ofisi Msajili wa Hazina ipo chini ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Meneja Mawasiliano Serikalini wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Titus Kaguo (wa Pili Kulia) akimpokea Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, anayeshughulikia Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt Tausi Kida (Wa Pili Kushoto) alipotembelea Mabanda yaliyochini ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali, jijini Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete(Kushoto), akipokea zawadi ya Mfuko ulioandikwa DIRA 2050: WEKEZA Tanzania, kutoka kwa Meneja Mawasiliano Serikalini, Titus Kaguo, alipotembelea Banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji katika Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayoendelea katika Viwanja vya Chinangali jijini Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, akisaini kitabu cha wageni alipotembelea Banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji katika maonesho ya wiki ya utumishi wa umma - Dodoma

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Wananchi mbalimbali wajitokeza katika Uwanja wa Chinangali, Jijini Dodoma kutembelea banda la Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji ili kupata huduma, taarifa mbalimbali na kufahamu zaidi kuhusu majukumu na shughuli zinazotekelezwa na OR-MU.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Timu nzima ya Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji tupo tayari kuwahudumia katika banda letu kwenye maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika Uwanja wa Chinangali, Jijini Dodoma. Tunawakaribisha wananchi wote kutembelea banda letu ili kupata huduma, taarifa mbalimbali na kufahamu zaidi kuhusu majukumu na shughuli tunazozitekeleza. Karibuni sana.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Makatibu Wakuu, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwezeja, Dkt Tausi Kida(Mipango-Kulia) na Dkt. Fred Msemwa (Uwekezaji), wakijadiliana jambo wakati wakitoka kusililiza hotuba ya Hali ya Uchumi wa Taifa na Mipango ya Maendeleo kwa Mwaka 2026/27 iliyosomwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo akionesha vitabu viwili vya Hali ya Uchumi wa Taifa kwa Mwaka 2025 (kushoto) na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa Mwaka 2026/27 wakati akiingia ndani ya Bunge kuwasilisha Taarifa hizo

Previous Next

Habari Mpya

TAMASHA LA 17 LA KITAALUMA LA MWALIMU NYERERE
TAMASHA LA 17 LA KITAALUMA LA MWALIMU NYERERE
Jun 01, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, leo amehudhuria na kutoa hotuba fupi katika Tama...
SERIKALI YACHUKUA HATUA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA USTAHIMILIVU WA UCHUMI WA TAIFA: PROF. MKUMBO
SERIKALI YACHUKUA HATUA MBALIMBALI ZA KUIMARISHA USTAHIMILIVU WA UCHUMI WA TAIFA: PROF. MKUMBO
May 22, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, amehudhuria na kufungua kikao kazi cha   kutathmini  athari za kiu...
TANZANIA NA URUSI KUFUNGUA FURSA MPYA ZA BIASHARA, KILIMO NA UWEKEZAJI
TANZANIA NA URUSI KUFUNGUA FURSA MPYA ZA BIASHARA, KILIMO NA UWEKEZAJI
May 16, 2026
Tanzania na Urusi zimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kupitia makubaliano mapya yatakayofungua fursa katika sekta za biashara, kilimo, uwek...
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
May 15, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, akitoa Hotuba fupi katika Jukwa la Pamoja la Biashara na Uwekezaji lililoand...
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA USHIRIKIANO WA BIASHARA NA UWEKEZAJI
May 15, 2026
Naibu Waziri Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Dkt. Pius Stephen Chaya ameikaribisha Nchi ya Urusi kuwekeza Nchini Tanzania. Dkt. Chaya ameyasema...
Tazama Zote

Matangazo

HOTUBA YA BAJETI YA OFISI YA RAIS, MIPANGO NA UWEKEZAJI...
Apr 16, 2026
MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA...
Jun 12, 2025
HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Hotuba ya Bajeti 2024/25
Apr 22, 2024
KONGAMANO LA WIKI YA WANAMIPANGO
Nov 23, 2023
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    23
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    1
  • Ripoti
    23
  • MIONGOZO
    3
pdf-128
01 Jul 2026

HOTUBA YA PROF. KITILA MKUMBO KATIKA HAFLA YA GAWIO TAREHE 30 JUNI, 2026


Soma zaidi
pdf-128
11 Jun 2026

HOTUBA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA KWA MWAKA 2025 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA 2026/27


Soma zaidi
pdf-128
01 Jun 2026

PROF. MKUMBO SPEECH REFLECTION ON DIRA 2050, DURING 17 MWL NYERERE INTELLECTUAL FESTIVAL 2026


Soma zaidi
pdf-128
22 May 2026

HOTUBA YA PROF. KITILA MKUMBO KIKAO CHA TATHIMINI YA ATHARI ZA KIUCHUMI ZINAZOTOKANA NA MGOGORO WA GHUBA KWA TANZANIA


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Taifa ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@popi.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dodoso MKUMBI II

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2026 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.