• English
  • Kiswahili
  • e-Vibali
  • PEPMIS
  • Mrejesho
  • Barua Pepe
  • Wasiliana Nasi
  • Ukubwa wa Maneno:  icon_a1.png icon_a3.png
Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Dira & Dhima
    • Maelezo Kuhusu Ofisi
    • Muundo
  • Idara na vitengo
    • Idara
      • Sera na Mipango
      • Uwekezaji wa Sekta Binafsi
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Uwekezaji wa Sekta ya Umma
    • Vitengo
      • Fedha na Uhasibu
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ufuatiliaji na Tathmini
      • Kitengo cha TEHAMA
      • Mawasiliano Serikalini
      • Mazingira ya Biashara
      • Ununuzi na Ugavi
  • Sera & Sheria
    • Sheria
    • Sera
    • Miongozo
    • Kanuni
    • Mikakati
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Taarifa kwa Umma
    • Jarida
    • Takwimu
    • Hotuba
  • Miradi
    • miradi iliyokamilika
    • Miradi inayotekelezwa
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Maktaba ya Video
  • Fursa za Uwekezaji
    • Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)
  • Zabuni
  • Mazingira ya Biashara
    • Mpango wa Kuboresha Mazingira ya Biashara (MKUMBI)
  • Dodoso MKUMBI II
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Mhe. Prof. Kitila Alexander Mkumbo
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Mhe. Dkt. Pius Stephen Chaya
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Dkt. Tausi Mbaga Kida
Katibu Mkuu - Mipango
Dkt. Fred Matola Msemwa
Dkt. Fred Matola Msemwa
Katibu Mkuu - Uwekezaji
Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Mipango) na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Kida, akikabidhi nyenzo za kazi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Dkt. Fred Msemwa, wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi iliyofanyika jijini Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Mipango) na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Dkt. Tausi Kida, akikabidhi nyenzo za kazi kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais (Uwekezaji), Dkt. Fred Msemwa, wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi iliyofanyika jijini Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb), amekutana na kufanya Mazungumzo na kampuni ya Indorama Eleme Petrochemicals Limited ya nchini Nigeria kuhusu mahitaji ya Kampuni hiyo kutaka kuwekeza katika sekta ya nishati na kilimo hususan uzalishaji wa gesi kwa kutumia malighafi ya gesi asili na petrochemicals zinazotumika katika viwanda vinavyozalisha bidhaa za plastiki.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais-Uwekezaji Dkt. Fred Matola Msemwa akifuatilia uzinduzi wa Programu ya Go Green na Imbeju.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Waziri wa Nchi, ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo, akitembelea wajasiliamali vijana wanaoshiriki katika maonesho ya Vijana Wajasiliamali wanaojihusisha na bidhaa za kijani, maonesho hayo yamefanyika ukumbi wa Jakaya Kikwete, Jijini Dodoma.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Dkt. Fred Matola Msemwa akiapa kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji anayeshughulikia Uwekezaji mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan (Hayupo pichani).

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. Fred Matola Msemwa, kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji anayeshughulikia Uwekezaji.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Dkt. Tausi Mbaga Kida akiapa kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji - Anayeshughulikia Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan (Hayupo pichani).

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akimuapisha Dkt. Tausi Mbaga Kida, kuwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji - Anayeshughulikia Mipango na Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango.

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji (OR-MU), Mhe. Dkt. Pius Chaya, ameshiriki zoezi la upandaji miti katika Makao Makuu ya Ofisi hiyo, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma na kukata keki ikiwa ni Ishara ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakithamini na kutambua mchango wake katika kuleta maendeleo ya Taifa.

Previous Next

Habari Mpya

TANZANIA NA WORLD GOLD COUNCIL KUONGEZA THAMANI DHAHABU
TANZANIA NA WORLD GOLD COUNCIL KUONGEZA THAMANI DHAHABU
Feb 16, 2026
Serikali ya Tanzania imepiga hatua nyingine katika kuhakikisha rasilimali za nchi zinawanufaisha wananchi wake kwa vitendo. Leo, Februari 13, 2026,...
WAZIRI MKUMBO AZINDUA DIRISHA LA IMBEJU, AHIMIZA VIJANA KUCHANGAMKIA MITAJI NA MAFUNZO
WAZIRI MKUMBO AZINDUA DIRISHA LA IMBEJU, AHIMIZA VIJANA KUCHANGAMKIA MITAJI NA MAFUNZO
Feb 16, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Mhe. Prof. Kitila Mkumbo (Mb), amepongeza program ya Go Green na Imbeju kwa kuanza kutekeleza wito...
SERIKALI IMELIHAKIKISHIA BUNGE KUWA IKO TAYARI KUTEKELEZA SHUGHULI ZAKE KWA NAMNA ISIYO YA KAWAIDA (...
SERIKALI IMELIHAKIKISHIA BUNGE KUWA IKO TAYARI KUTEKELEZA SHUGHULI ZAKE KWA NAMNA ISIYO YA KAWAIDA (...
Feb 10, 2026
Serikali imelihakikishia Bunge kuwa iko tayari kutekeleza shughuli zake kwa namna isiyo ya kawaida (business unusual), ili kuhakikisha nchi inafikia U...
NAIBU WAZIRI - DKT CHAYA AUNGANA NA MHE RAIS KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUPANDA MITI JENG...
NAIBU WAZIRI - DKT CHAYA AUNGANA NA MHE RAIS KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUPANDA MITI JENG...
Feb 02, 2026
Katika kuenzi siku ya kuzaliwa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na...
WAZIRI MKUMBO AFUNGUA KONGAMANO LA EAST AFRICA PROSPECTS 2026 JIJINI LONDON
WAZIRI MKUMBO AFUNGUA KONGAMANO LA EAST AFRICA PROSPECTS 2026 JIJINI LONDON
Jan 28, 2026
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (Mb.), amefungua kongamano la ngazi ya juu la East Africa Prospects 20...
Tazama Zote

Matangazo

MHE. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA...
Jun 12, 2025
HOTUBA YA BAJETI YA MWAKA 2025/26 - MHE. PROF. KITILA A...
Apr 24, 2025
MAPENDEKEZO YA SERIKALI YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA...
Mar 11, 2025
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA 2025/26
Nov 11, 2024
TAARIFA YA HALI YA UCHUMI MWAKA 2023 NA MPANGO WA MAEND...
Jun 13, 2024
Hotuba ya Bajeti 2024/25
Apr 22, 2024
KONGAMANO LA WIKI YA WANAMIPANGO
Nov 23, 2023
MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA KWA MWAKA...
Nov 06, 2023
Tazama Zote

Nyaraka

  • Hotuba
    15
  • Zabuni ya Ununuzi wa Magari
    18
  • Sera
    1
  • Ripoti
    20
  • MIONGOZO
    3
pdf-128
02 Feb 2026

MHE. PROF. MKUMBO AKIWASILISHA BUNGENI MPANGO ELEKEZI WA MAENDELEO WA MUDA MREFU, MPANGO WA NNE WA MAENDELEO WA TAIFA WA MIAKA MITANO NA MAPENDEKEZO YA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA


Soma zaidi
pdf-128
15 Nov 2025

HOTUBA YA RAIS MHE. DKT SAMIA SULUHU HASSAN AKIFUNGUA BUNGE LA 13


Soma zaidi
pdf-128
24 Jun 2025

MAELEZO YA MHE. PROF. MKUMBO AKIHITIMISHA MJADALA WA TAARIFA YA HALI YA UCHUMI WA TAIFA NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA 2025/26


Soma zaidi
pdf-128
12 Jun 2025

MHESH. PROF. KITILA ALEXANDER MKUMBO (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI TAARIFA YA HALI YA UCHUMI KWA MWAKA 2024 NA MPANGO WA MAENDELEO WA TAIFA WA MWAKA 2025/26


Soma zaidi
Tazama Zote

Video

15th Jul, 2024
SERIKALI YAKUTANA NA WAZALISHAJI WA SUKARI NCHINI
30th Jun, 2024
SERIKALI KUWEKA MKAZO WA MAENDELEO VIJIJINI KUPITI...
06th Jun, 2024
PROF. MKUMBO AKITOA UFAFANUZI KUHUSU ZIARA YA MHE....
07th May, 2024
UZINDUZI WA KITUO CHA HUDUMA KWA WAWEKEZAJI
Tazama Zote

Taasisi chini ya Wizara

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Ofisi ya Msajili wa Hazina

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Tume ya Taifa ya Mipango

Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji

Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA)

Mahali
Wasiliana Nasi
Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji
Mji wa Serikali-Mtumba 1 Barabara ya Ardhi, S.L.P. 104, 40403 DODOMA.
ps@popi.go.tz
+255 (026) 2962384
Kurasa za Karibu
  • Barua Pepe ya Wafanyakazi

  • Dodoso MKUMBI II

  • Habari

  • PEPMIS

  • Mwongozo wa Mawasiliano kwa Njia ya Video Serikalini

Tufuatilie
Tovuti Mashuhuri
  • Tovuti Kuu ya Serikali

  • Bunge la Tanzania

  • Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF)

  • Shirikisho la Wenye Viwanda Tanzania (CTI)

  • Wizara ya Viwanda na Biashara

  • OR-MUUUB

  • PO-RALG

  • Ramani ya Tovuti
  • Sera ya Faragha
  • Vigezo & Masharti
  • Hakimiliki
  • Kanusho
  • Imesanifiwa na Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao na Inaendeshwa na WHMTH
    © 2026 Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji, Haki zote zimehifadhiwa.